IQNA-Rais Donald Trump wa Marekani amesema Wawakilishi wanawake katika bunge la nchi hiyo, ambao ni Waislamu, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha upinzani cha Democratic kupiga kelele na kulalamika wakati wa hotuba ya karibuni ya Trump katika Kongresi.
Habari ID: 3482004 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani, mgombea wa Umeya wa Jiji la New York, ambayo yametokea kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala cha Warepublican na hata baadhi ya Wademocrat.
Habari ID: 3480866 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu cha Vermont.
Habari ID: 3477954 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/27
TEHRAN (IQNA)- Utawala haramu wa Israel umewapiga marufuku wabunge wawili wa chama cha Democrat nchini Marekani Rashida Tlaib na Ilhan Omar kuingia ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472086 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/16